Atnaujintas knygų su minimaliais defektais pasiūlymas! Naršykite ČIA >>

Kilio Cha Mwafirika Ndani Ya Utandawazi: Nani Atatuvabua Toka Lindi La Utandawazi

-15% su kodu: ENG15
97,74 
Įprasta kaina: 114,99 
-15% su kodu: ENG15
Kupono kodas: ENG15
Akcija baigiasi: 2025-03-03
-15% su kodu: ENG15
97,74 
Įprasta kaina: 114,99 
-15% su kodu: ENG15
Kupono kodas: ENG15
Akcija baigiasi: 2025-03-03
-15% su kodu: ENG15
2025-02-28 114.9900 InStock
Nemokamas pristatymas į paštomatus per 11-15 darbo dienų užsakymams nuo 10,00 

Knygos aprašymas

Mwanafalsafa mmoja maarufu duniani alisema , ¿ UONGO UKIRUDIWARUDIWA MARA NYINGI HUONEKANA NA KUKUBALIKA KUWA NI UKWELI¿ Hii ni falsafa iliyotumika na mtawala katili wa wajermani Adolf Hittler kuwadanganya wananchi wake kuwa Wayahudi ni taifa hatarishi lililostahili kuangamizwa kuinusuru Ujermani kupoteza heshima yake kiuchumi kijeshi na kiutamaduni.Huu ulikuwa wakati wa maandalizi ya vita kuu ya pili ya dunia iliyoanza mwaka 1939¿1945.Matokeo ya matumizi ya falsafa hii ni kuangamizwa kwa wayahudi milioni sita na zaidi katika kipindi kifupi. Falsafa hii potofu ndio iliyotumika na wanahistoria wabaguzi na vikaragosi wao kupotosha historia ya afrika na kudai kuwa kabla ya ujio wa wakoloni Afrika haikumjua Mungu. haikuwa na ustaarabu wowote na kuwa Afrika lilikuwa bara la giza,Sura iliyoonekana ni ya umaskini na ufukara uliopindukia.Lakini kama ilivyo ada penye ukweli uongo hujitenga. Kitabu hiki kitakupatia ukweli ,uhalisia na mtazamo chanya wa Afrika ya jana, leo na kesho.Hakika hutajutia fedha yako kukipata na kukisoma kitabu hiki. Macho na masikio vyote duniani vinaelekeezwa Afrika

Informacija

Autorius: Thomas Ngatigwa
Leidėjas: GlobeEdit
Išleidimo metai: 2019
Knygos puslapių skaičius: 344
ISBN-10: 6139412978
ISBN-13: 9786139412976
Formatas: 220 x 150 x 21 mm. Knyga minkštu viršeliu
Kalba: Anglų

Pirkėjų atsiliepimai

Parašykite atsiliepimą apie „Kilio Cha Mwafirika Ndani Ya Utandawazi: Nani Atatuvabua Toka Lindi La Utandawazi“

Būtina įvertinti prekę

Goodreads reviews for „Kilio Cha Mwafirika Ndani Ya Utandawazi: Nani Atatuvabua Toka Lindi La Utandawazi“